Wednesday, August 19, 2020

TATIZO LA KUTOKA USAHA KWENYE SIKIO

 Habari za wakati huu ndugu watazamaji, kama ilivyo ada leo tunaenda kujifunza kuhusu tatizo la kutoka usaha kwenye sikio 

Tuungane na Daktari bingwa wa masikio ,pua na koo kutoka hospitali ya taifa Muhimbili-Mloganzila Dkt.Godlove Mfuko akitoa elimu juu ya mada ya hii.

    Karibu tujifunze




Natanguliza shukrani za dhati kwa Azam tv kupitia kipindi chake cha MediCounter katika kuelimisha jamii kuhusu Afya

Source:AzamTv MedCounter

      #Afya yetu Urithi wetu

   Frank Msuya 

#DaktariJamii





1 comment:

  1. 👍🏾👍🏾 tho this journal was a bit scary🤪🤪

    ReplyDelete

TATIZO LA "UDATA" (TONGUE TIE)

Udata ni tatizo la kuzaliwa(congenital malformation) linalopelekea mtu kushindwa kutoa ulimi nje na kushindwa kuupandisha juu. Mara nyingi t...