Friday, August 28, 2020

TATIZO LA "UDATA" (TONGUE TIE)

Udata ni tatizo la kuzaliwa(congenital malformation) linalopelekea mtu kushindwa kutoa ulimi nje na kushindwa kuupandisha juu. Mara nyingi tatizo hilo huwakumba watoto wachanga zaidi. Tatizo hili kitaalamu huitwa Tongue tie /Ankyloglossia


    UDATA HUSABABISHWA NA NINI?

Kwa kawaida sehemu ya chini ya ulimi(Lingual frenulum) huwa inatengana na sakafu ya mdomo(floor of mouth) ili kuwezesha ulimi kufanya mjongeo ndani  na nje ya mdomo . Hivyo endapo utando huo wa chini wa ulimi ukashikana  na kuungana na sakafu ya mdomo hupelekea mtoto kupata "udata"/Ulimi kushikwa.(tongue-tie)




DALILI ZA UDATA KWA MTOTO MCHANGA

- Mtoto kushindwa kutoa ulimi nje au kuupandisha juu
-Mtoto kushindwa kunyonya vizuri maziwa ya mama
-Ulimi wa mtoto kuwa na umbo la moyo
-Mtoto mwenye udata pia hushindwa kumeza na hupelekea maradhi katika mfumo wa chakula
-Mtoto mwenye udata hushindwa kuzungumza/kuongea vizuri
(speech defect)


MATIBABU UDATA

Tatizo la udata linatibika kitaalam  hospitalini kwa kukata sehemu ya utando wa chini wa ulimi ulioungana na sakafu ya mdomo ili kuruhusu ulimi kufanya mjongeo ndani ya mdomo kitaalum inaitwh frenotomy.Hivyo mzazi ukigundua tatizo hili kwa mtoto muone daktari kwa ajili ya matibabu mazuri na ya usalama.


Tujifunze tena kwa undani kupitia video hii

    
   shukrani sana...Imeeandaliwa na 
Frank E Msuya
#DaktariJamii blogger
  
  Video source: Medicounter  Azam tv


Wednesday, August 19, 2020

TATIZO LA KUTOKA USAHA KWENYE SIKIO

 Habari za wakati huu ndugu watazamaji, kama ilivyo ada leo tunaenda kujifunza kuhusu tatizo la kutoka usaha kwenye sikio 

Tuungane na Daktari bingwa wa masikio ,pua na koo kutoka hospitali ya taifa Muhimbili-Mloganzila Dkt.Godlove Mfuko akitoa elimu juu ya mada ya hii.

    Karibu tujifunze




Natanguliza shukrani za dhati kwa Azam tv kupitia kipindi chake cha MediCounter katika kuelimisha jamii kuhusu Afya

Source:AzamTv MedCounter

      #Afya yetu Urithi wetu

   Frank Msuya 

#DaktariJamii





Sunday, August 16, 2020

5 FOODS FOR GOOD BREATH

 Good dental hygiene is the best way to prevent bad breath, but also the food we eat make a major impact.

The bacteria in mouth rather than odors of food itself,produce sulfur compound that cause bad breath as they breakdown leftover food particles and dead cells

The following are five foods that fight against bad breath:

1.CRUNCHY FRESH FRUITS such as

apples,peas,carrots help produce saliva that cleans out odor-producing bacteria in mouth

2.VEGGIES such as parsley,green mint contains useful chemicals that fight odor-producing bacteria


3.MELONS AND CITRUS FRUIT such as oranges,lemons contain vitamin C help to prevent halitosis-causing gingivitis and other oral health issue


4.GINGER it contain compound called 6-gingerol that stimulate enzymes in saliva that break sulfur compound causing bad breath

5.WATER keep well hydration environment in mouth and destory dead cells thus ensure best breathe


   

      THANK YOU SO MUCH

   Written by Frank Msuya #DaktariJamii




Friday, August 14, 2020

TIPS FOR GOOD ORAL HEALTH

DENTAL CALCULUS

 INTRODUCTION
Dental calculus refers to the mineralized bacterial plaque that is fused on natural teeth surface where there is constant supply of saliva. Dental calculus composed primarily of calcium phosphate mineral salts deposited between and within remnants of freely viable microorganisms. 

FORMATION
Dental calculus simply are formed from food remainings that stuck between teeth, thus when oral bacteria and mineral salts form saliva mix with those remnants form calcified plaque that trap stains on teeth and cause discolouration.

Calculus formation is associated with number of clinical manifestations such as bad teeth,receding gums,teeth discoloration and chronically inflamed gingiva

Commonly seen over the buccal suface of maxillary molars and lingual surface of anterior teeth where salivary duct open into oral cavity


 


  
   TREATMENT
   Plaque/calculus buildup can be removed by dental professionals using ultrasonic dental tools such as periodontal scalers. So as soon as you realize this problems you are advised to see dentists for medical treatment.

 
     
PREVENTION AND HYIGENIC ADVICE
   -Brush your teeth at least twice a day 
   -Flossing to remove plaque from which calculus is formed




  THANK YOU ALL
     Written By Frank Msuya 
  #DaktariJamii
Sources:American Dental Association oral health Journals

TATIZO LA "UDATA" (TONGUE TIE)

Udata ni tatizo la kuzaliwa(congenital malformation) linalopelekea mtu kushindwa kutoa ulimi nje na kushindwa kuupandisha juu. Mara nyingi t...